Wednesday, September 14, 2005

Nani Anaimiliki Bendera Ya Taifa?


MVUTANO juu ya matumizi ya Bendera ya Taifa nchini Tanzania uliozuka katika kipindi cha kampeni za uchaguzi, umezua mjadala mpya katika jamii. Sasa watu wanahoji. Kwani Bendera ni nini hasa? Nani anaimiliki? Soma Hapa.

2 comments:

Reggy's said...

bendera ya taifa ya kila mtu.siku hizo kuna leso za bedera ya Taifa, namshangaa 'Mapuri aliwapa kwa kuwapa vibali'.

FOSEWERD Initiatives said...

bendera ya taifa, nani anammiliki nyerere, na nani anastahili kutawala ni miongoni mwa mawazo potofu ya vigogo fulani fulani wa chama tawala ambao wenyewer wao bila kutawala wanaona mambo hayataenda! blogu hizi zina kazi kubwa ya kudai haki zetu za msingi zilizodhulumiwa siku nyingi!

aluta continua

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'