Wednesday, September 14, 2005

Nani Anaimiliki Bendera Ya Taifa?


MVUTANO juu ya matumizi ya Bendera ya Taifa nchini Tanzania uliozuka katika kipindi cha kampeni za uchaguzi, umezua mjadala mpya katika jamii. Sasa watu wanahoji. Kwani Bendera ni nini hasa? Nani anaimiliki? Soma Hapa.

Friday, September 09, 2005

Friday, September 02, 2005

CCM imemshauri vibaya Kikwete

MWAKA 1995 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichangamkia mdahalo wa wagombea urais, wakati huo kikiwa kimemteua Benjamin Mkapa. Mwaka huu, chama hicho hicho kikiwa na mgombea mpya, Jakaya Mrisho Kikwete, kimekwepa mdahalo huo kikisingizia ratiba ngumu ya mgombea. Uamuzi huo wa CCM umezua hisia na maswali mbalimbali katika jamii. Wengine wanasema Kikwete kaogopa. Wengine wanasema CCM haikuhitaji mdahalo huo. Woga au si woga, kwa nini CCM imeingia mitini? Tafakari.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'