Saturday, January 14, 2006

Limekuja Lenyewe, Hili Hapa


KILE zilichoshindwa timu zetu za soka, Coca-Cola imeweza: kulileta kombe la dunia Tanzania. Walau imetuwezesha kuliona, kulishika, kulinusa na kupiga nalo picha. Walau hili tumeliweza! Sijui uwezo wetu ndo umeishia hapo, au tumehamasika!
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'