Wednesday, May 30, 2007

Wanamtandao waanza kunijibu

Wa Kwanza amesema hivi. Kwa bahati ya ajabu, alikutana na makala yangu inayomhoji yeye binafsi na wenzake siku hiyo hiyo, katika gazeti hilo hilo. What a coincidence! Majibu yangu kwa baadhi yao ni haya.

Monday, May 28, 2007

Tumeshindwa Real Madrid, Tutaweza MKUKUTA?

REAL Madrid 'imetema' mwaliko wa JK. Ina maana gani? Soma UCHAMBUZI HUU.

Sunday, May 20, 2007

Serikali ishindwe, mamluki waweze?

KUNA mkakati mpya wa 'kazi' uliobuniwa na baadhi ya viongozi wa serikali yetu pale wanaposhindwa kujibu hoja za wakosoaji zinazoibuliwa katika vyombo vya habari. Hawatoi majibu, lakini wanaandaa mamluki kushambulia wakosoaji wa 'wakubwa.' Serikali iliyoanzia magazetini, imerudi tena magazetini? Mamluki hawa wanaweza kutoa majibu ya serikali? Serikali yenyewe inafanya nini? Soma UCHAMBUZI HUU, na toa maoni yako.

Sunday, May 13, 2007

Mwanza ina nini na Rais Kikwete?

Kwanza kuvamiwa jukwaani; pili mapanki; na sasa Chitalilo. Kwa NINI?

Wednesday, May 09, 2007

Karibu Katika Nyumba Mpya

Kwa sababu za msingi kabisa, nami nimejenga nyumba mpya mpya. Wengine wanasema ni kiota. Unataka kuingia? Bofya hapa

Sunday, May 06, 2007

Kina Chiluba Wengi Afrika

Tunazungumzia kupiga vita rushwa? Zambia imetoa mfano na funzo kwetu. Nasi Tanzania tunao kina Chiluba wengi. Badala ya kuwachukulia hatua tunawalinda. BOFYA HAPA.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'