Thursday, June 28, 2007

Sunday, June 24, 2007

Nauli nafuu kwenda popote

Ni kama tangazo vile, lakini ni huduma muhimu kwa wasafiri. Soma hapa.

Uzalendo wa Meghji unatia shaka

Tuhoji upeo wa Waziri wa Fedha, Zakhia Meghji, katika suala la uzalendo.

Wednesday, June 20, 2007

Furaha ya Stars, ulevi wa watawala

Watawala wetu wanataka kufunika machungu ya bajeti ya serikali kwa chereko za ushindi wa Taifa Stars dhidi ya Burkinafaso? SOMA HAPA

Sunday, June 03, 2007

Watanzania wataacha lini kuwashabikia 'manabii'?

'Nabii' mmoja wa Tanzania aliyedai ametokewa na Roho Mtakatifu, alioa wanawake wote kijijini kwake, akazaa nao watoto 59 ambao hakuwasomesha! Aliwaahidi wafuasi wake kwamba wangepaa kwenda mbinguni baada ya miaka 70, akafa kabla ya unabii wake kutimia. sasa limekuwa zogo. Watanzania tunapata somo gani? SOMA hapa.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'