Thursday, July 23, 2009

Your girlfriends at a birthday party

Would you invite your 17 ex-girfriends at your birthday party? Well, Simon Cowell has!

Wednesday, July 22, 2009

Migiro opens School of Journalism


United Nations Deputy Secretary General Asha-Rose Migiro (R) recently officiated at the opening ceremony of the School of Journalism and Mass Communication at the Univeristy of Dar es Salaam. Left is Dr. Bernadeta Killian, the dean of the School leading her chief guest and other invitees into the event venue. (Photo by courtesy of IPP Media)

Sunday, July 12, 2009

Ujumbe wa Obama kwa Afrika

Rais wa Marekani, Barack Obama, ametoa ujumbe mzito kwa watawala wa Afrika. Ni ujumbe mzuri, ingawa una upungufu wake, ambao nitaujadili baadaye wiki hii.

Saturday, July 11, 2009

Obama anatazama nini?


Macho ya Rais Barack Obama yanatazama nini? Ndiye pekee anayeweza kujua. Lakini haituzuii kufuatilia na kujadili.

Friday, July 10, 2009

Swali gumu kwa Obama

Msome Erick Kabendera akimweleza Rais Barack Obama juu ya kile ambacho Afrika inahitaji kutoka kwake.

Obama na Papa Benedict XVI wakubali kutofautiana


Rais wa Marekani Barack Obama amemtembelea Papa Benedict XVI, na wawili hao wamekubaliana na kutofautiana katika masuala ya msingi. Wasome hapa. Na kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu, mke wa rais, Michelle Obama amevaa vazi linalofunika haswa mwili wake.

Thursday, July 09, 2009

Saturday, July 04, 2009

Mahakama ya Kadhi: Ahadi nzito iliyoshindikana

IWAPO hoja ya Mahakama ya Kadhi Mkuu itafika mahali pa kuwakosanisha na kuwagombanisha Waislamu na Wakristo wa Tanzania, mgogoro huo utakuwa umesababishwa na woga wa watawala wetu. Kwa vipi? Soma Maswali Magumu wiki hii.

Sarah Palin abwaga manyanga


Sarah Palin, aliyekuwa mgombea mwenza wa John McCain kutoka chama cha Republican, Marekani, ametangaza kustaafu wadhifa wa Meya wa Alaska mwezi huu. Pata habari yenyewe.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'