Sunday, November 11, 2012

Wafuasi wa Romney wamwaga chozi

Hivi ndivyo wafuasi wa Mitt Romney walivyomwaga chozi baada ya kuona matokeo ya kura yanampa ushindi Rais Barack Obama, ambaye wafuasi wake wanashangilia kwa kunyosha vidole viwili kama vya Chadema!
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'