Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...
Tuesday, June 29, 2010
Friday, June 25, 2010
Ya Italia na Ufaransa

Mtu mmoja ameandika katika tovuti ya BBC, akizungumzia timu za Italia na Ufaransa, na kulinganisha nguvu ya timu hizo katika fainali mbili. Anasema:"Inashangaza kidogo kwamba katika fainali za 2006, Italia na Ufaransa walikutana uwanjani katika mechi ya mwisho ya fainali; katika fainali za mwaka 2010, timu hizo hizo zimekutana uwanja wa ndege" (wakiwa safarini kurejea makwao baada ya wote wawili kutolewa katika hatua ya awali).
Monday, June 21, 2010
Siasa za JK na mwanaye
RAIS Jakaya Kikwete amemkabidhi mtoto wake Ridhiwani, fomu za kumuombea wadhamini 250 kwa mikoa 10 nchini ili kutimiza vigezo vya kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM. Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika nyumbani kwake mjini hapa ambapo zaidi ya vijana 40 watakaoongozwa na Ridhiwani walihudhuria. Mtoto huyo wa rais Kikwete, amechaguliwa kuwa kiongozi wa vijana katika kuhakikisha mgombea huyo anapata wadhamini wa kutosha kwa mujibu wa sheria na kanuni za CCM.
Kwa habari zaidi soma magazeti. Mzee wa Maswali Magumu amelijadili hili kwa kifupi.
Kwa habari zaidi soma magazeti. Mzee wa Maswali Magumu amelijadili hili kwa kifupi.
Monday, June 14, 2010
Saturday, June 12, 2010
Saa mbili za Maradona

SOMA hapa ujue kwa nini Kocha wa Timu ya Taifa (Soka) ya Argentina, Diego Maradona, anapenda kuvaa saa mbili - moja kila mkono.
Wednesday, June 09, 2010
'Kichwa cha Zidane' chatukuzwa

Tazama wenzio wanavyokitumia kutangaza biashara zao na kuvuna mapesa. PICHA YA KWANZA PICHA YA PILI. PICHA YA TATU.
Thursday, June 03, 2010
Ziro ya Sumaye na Ombwe la Kikwete, kipi bora?
SOMA mjadala mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu 2010. Usikose pia kusoma ONYO hili kwa Watanzania. Linakuhusu. Katika kuendeleza mjadala, Mtanzania mwingine amemtaka Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, aokoe jahazi. Kwa vipi? Soma HAPA.
Wednesday, May 12, 2010
Waingereza wapata serikali mpya
Mseto huu waweza kuwa bora kuliko miseto ya Kenya na Zimbabwe? Fuatilia muundo wa serikali mpya inayoongozwa na David Cameron.
Friday, April 23, 2010
Uchaguzi Mkuu: Mdahalo wa wanasiasa Uingereza
Watazame, wasikilize na watathmini wanasiasa hawa wanaogombea ukubwa wakijieleza katika mdahalo wao wa pili. Ni David Cameron (Conservative), Gordon Brown (Labour) na Nick Clegg (Lib Dem).
Tuesday, April 20, 2010
Mourinho haishiwi hoja kwa waandishi
Wakati Inter Milan na Barcelona zikijiandaa kuchuana katika ngwe ya kwanza ya nusu fainali, Kocha wa Inter, Jose Mourinho, amezungumza na waandishi kwa kujiamini. Msome hapa.. Na baada ya kuifunga Barcelona, aliwasifu vijana wake na kuwaponda washindani, lakini akaonya kuwa safari ya kuelekea Madrid bado ndefu. Naye Rais wa Klabu, Massimo Moratti, aliwasifu Inter, akammwagia sifa kocha, akisema: "wanatisha."
Friday, April 16, 2010
Thursday, April 08, 2010
Mgeni mwingine
Wednesday, March 31, 2010
Kigogo wa kwanza CCM ajiunga CCJ
Saturday, March 27, 2010
Thursday, March 18, 2010
Tunajadili utendaji wa vyombo vya habari
Monday, March 15, 2010
Wakaukosa mpira, wakatwangana wenyewe
Hata kabumbu twasakata
Subscribe to:
Posts (Atom)
- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'


