Sunday, July 22, 2007

MwanaHALISI, Serikali wakaribia kuzichapa

Serikali ya awamu ya nne bado inaendelea kukosa uvumilivu. Huku rais Jakaya Kikwete akidai haogopi kukosolewa, matendo ya serikali yake yanaonyesha tofauti. Baada ya kulikosakosa Tanzania Daima mara kadhaa, sasa imeamua (kwa mara nyingine) kulivalia njuga gazeti la kila Jumatano la MwanaHALISI. Soma hapa. Kutokana na sakata hilo, Mchambuzi na Mwandishi mkongwe, Ndimara Tegambwage, anaipatia serikali TUISHENI ya bure.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'