Wednesday, May 12, 2010

Waingereza wapata serikali mpya

Mseto huu waweza kuwa bora kuliko miseto ya Kenya na Zimbabwe? Fuatilia muundo wa serikali mpya inayoongozwa na David Cameron.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'