Friday, September 28, 2012

Magamba Yapukutika Nyakatanga

Baadhi ya makumi ya wana CCM wameamua kuvua magamba na kujiunga na M4C mbele ya Ansbert Ngurumo aliye Muleba pamoja na John Heche kwenye M4C

Heche Aendeleza M4C Kamachumu

Leo John Heche Mwenyekiti wa CHADEMA viana taifa,akiwa Kamachumu,Muleba, kagera

Sunday, September 23, 2012

John Heche Apenya Vijiji Muleba




 Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, John Heche, akihutubia Mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nsisha, Kagoma, Wilayani Muleba, Mkoa wa Kagera.
 Wananchi
 Katibu wa CHADEMA Muleba kaskazini


John Heche na viongozi wa jimbo la Muleba kaskazini

Monday, September 17, 2012

Hotuba ya Mbowe Washington DC

Mheshimiwa Freeman Mbowe akihutubia Watanzania waishio Marekani kuhusu azima ya mabadiliko Tanzania. Anasema mabadiliko yanayotokea sasa ni mpango wa Mungu! Msikilize sasa.

Wednesday, September 05, 2012

Tuesday, September 04, 2012

Tanzia mwanana ya Daudi Mwangosi

Katika yote yaliyoandikwa kuhusu mateso na kifo cha Daudi Mwangosi (pichani) aliyeuawa na polisi kijijini Nyololo, Iringa, andiko hili linastahili enzi ya pekee, na linastahili kuwa tanzia mwanana ya Hayati Mwangosi. Requiem In Pacem!

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'