Sunday, March 18, 2007

Inatekenya mbavu, au vipi?




MARA moja moja ni vema kujiburudisha kidogo, kucheka, kulegeza misuli na kupunguza tension. Katuni hii imetumwa kwangu na Peter Nyanje, ambaye ameipokea kutoka kwa wengine katika mzunguko wa kutumiana vichekesho. Nikaona vema niipatie mahali pa kutulia, ili wasomaji wa blogu hii, hasa wale ambao hawakupata na hawatapata 'bahati' ya kutumiwa katuni hii, nao wapate uhondo huu. BOFYA kwenye picha usome maelezo yake.

Monday, March 12, 2007

Makala za kihistoria juu ya Chifu Marealle

Historia ni mama wa elimu yote. Zisome makala hizi mbili, utakiri hii ni sehemu nyeti ya historia yetu, katika nafsi ya Hayati Chifu Thomas Marealle. Anza na hii ya Kibanda, halafu malizia na hii hapa ya Halimoja.

Sunday, March 11, 2007

Friday, March 09, 2007

Eti Pombe ina homoni za kike?

Hii imenifikia katika mzunguko wa kutumiana meseji za utani, nikaona niiweke hapa kwa faida ya wasomaji. Nadhani huu ni utani tu, usioweza kusababisha ugomvi kwa wanaharakati wa jinsia.

Last month, National University of Lesotho scientists released results of a recent analysis that revealed the presence of female hormones in beer. Men should take a concerned look at their beer consumption. The theory is that beer contains female hormones (hops contain phytoestrogens) and that by drinking enough beer, men turn into women. To test the theory, 100 men drank 8 pints of beer each within an hour period. It was then observed that 100% of the test subjects:

1) argued over nothing.
2) refused to apologize when obviously wrong.
3) Gained weight.
4) Talked excessively without making sense.
5) Became overly emotional.
6) Couldn't drive.
7) Failed to think rationally
8) Had to sit down while urinating.

No further testing was considered necessary.

Wednesday, March 07, 2007

TUENDAKO: Uchambuzi Bora kwa miaka 10

Nimesoma makala nyingi za Kibanda, kwa miaka 10 iliyopita. Ni mwandishi mzuri na makini. Lakini sijawahi kusoma makala yake nzuri kuliko hii hapa. Ameikuna akili yangu. Bofya hapa chini usome mwenyewe.

http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/3/7/makala7.php Soma pia nondo za Kibanda kwa JK katika mfululizo wa makala za TUENDAKO.

Sunday, March 04, 2007

Tukubaliane, hatuna Wimbo wa Taifa

Unajua kwamba Watanzania hatuna Wimbo wa Taifa? Bofya hapa uone sababu.

Saturday, March 03, 2007

Zama mpya, majibu ya kizamani

Majibu ya kizamani, zama mpya! Inakubalika? Bofya hapa.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'