Wednesday, March 31, 2010

Kigogo wa kwanza CCM ajiunga CCJ


Ni Mbunge wa Kishapu, Fred Mpendazoe, ambaye amevijua uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na kwa mantiki hiyo, kujivua ubunge. Ameandika historia. Na habari zinasema kuwa vigogo wengine wanajiandaa kumfuata. Tusubiri tuone.

Thursday, March 18, 2010

Tunajadili utendaji wa vyombo vya habari


Katika picha hii, nafafanua jambo kwa mgeni wangu Anni Lyngskaer, raia wa Denmark aliyenitembelea ofisini kwangu, kujadili utendaji wa vyombo vya habari nchini. (Picha kwa hisani ya Francis Dande Machi 17, 2010)

Monday, March 15, 2010

Wakaukosa mpira, wakatwangana wenyewe

Watatu wanamkaba mmoja kwa kuwa alikuwa anatisha! Mshambuliaji mahiri wa Salehe Mohammed wa Free Media FC (mwenye njano) akikabiliana na mabeki wa Mwananchi FC. 13.03.2010, Uwanja wa Sigara, Dsm.

Huu ndiyo mwisho wa Beckham kucheza soka?

Fuatilia uchambuzi huu.

Hata kabumbu twasakata


Mnamzungumzia Drogba? Wapo wengine, hata kama hawavumi! Siku zinasogea, lakini stamina haijapotea kabisa. Anza na hiyo. Nyingine zitafuata za Machi 13, 2010 (Free Media vs Mwananchi). Tulifungana idadi hii ya magoli. Wengine tuliacha vipande vya miguu uwanjani.

Tuesday, March 02, 2010

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'