Saturday, January 21, 2012

Dk. Slaa akutana na JK


LEO jioni, Dr. Willibrod Slaa amekutana na Rais Jakaya Kikwete katika Ikulu ya Magogoni, kwa wito wa rais ili kueleza chama hicho hatua alizochukua baada ya mkutano wa na ujumbe wa Chadema mwaka jana. Maelezo zaidi baadaye.

Saturday, January 14, 2012

Regia Mtema afariki dunia

. Habari mbaya zilizoifikia blogu hii ni kwamba Mbunge wa Viti Maalumu kutoka Kilombero (Chadema), Regia Mtema, pichani, amefariki dunia leo muda mfupi uliopita, katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Ruvu. Taarifa zaidi zitafuata baadaye. Mungu amlaze pema peponi!

Goli la kizembe, na la kifundi


1. Huu ni uzembe wa golikipa. 2. Na huu hapa ni umahiri wa mfungaji - HENRY.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'