Tuesday, February 26, 2013

Mdahalo wa pili urais Kenya 2013

Wasikilize wagombea urais wa Kenya katika mdahalo wa pili uliofanyika jana. Hawa hapa:

Sunday, February 10, 2013

Nukuu muhimu za leo katika mkutano wa Chadema, Temeke Mwisho



Freeman Mbowe:
“Tumegundua janja yao. Walidhani watauchakachua kila mara , tutatoka Bungeni; sasa tumeamua. Wasipotusikiliza hatutoki hadi kieleweke.”
“Wasio wana Chadema si adui zetu. Tuna jukumu la kuwashawishi, kuwabadili wawe wana Chadema, tuongeze idadi.”
“Watawala wanataka kutugawa katika makundi ya dini na ukabila ili watutawale kirahisi. Huu ni upumbavu, ujinga na ulimbukeni. Tusikubali kugawanyika.”
“Tuache kulalamika, tuchukue hatua.”

Dk. Willibrod Slaa:
“Bunge ni mahali patakatifu kuliko Ikulu.”
“Kamati ya Zitto haijavunjwa kikanuni; kwetu sisi haijaondolewa.”

Zitto Kabwe:
“Barabara ya Mtawara – Dar inajengwa kwa miaka minane (8) haijakamilika, lakini CCM na serikali yao wanasema wanataka kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar kwa miezi 18; na hawataki kutuinyesha mikataba.”
“Spika Anna Makinda hatumii akili yake. Anatumia akili za (William) Lukuvi na (Mizengo) Pinda.Lazima tumwajibishe kwa kumng’oa. Ama ang’olewe kwa nguvu ya umma au atumiwe meseji ajiondoe mwenyewe.”
ie nguvu ya umma kulazimisha utaratibu wa kupata katiba mpya. Haki isipotendeka tuingie barabarani, tuikomboe nchi yetu kwa miguu yetu na mikono yetu.”


Tundu Lissu:
“CCM na Makinda sasa waamue moja kati ya mambo haya mawili; ama waache Bunge lijadili hoja muhimu kwa taifa au Bunge lisiwepo kabisa.”
“Tutum



Peter Msigwa:
“Kinanaaa” Umma: “Weka mbali na tembo.”
“Nashangaa mimi si miongoni mwa wabunge wakorofi…nami nimo!”
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'