Friday, May 30, 2008

Muuaji wa Ballali anajulikana

Licha ya utata wa kifo cha aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Daudi Ballali, vyanzo vya kuaminika vimemtaja mtu aliyetajwa na Ballali kwamba ndiye alimlisha sumu.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'