Monday, May 02, 2011

Obama azungumzia kifo cha Osama

Nukuu ya leo kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani: "Hatupigani vita dhidi ya Uislamu kwa sababu Bin Laden si kiongozi wa Uislamu... na ameua maelfu ya Waislamu." Sikiliza hotuba ya Rais Obama, akitangaza kifo cha Osama Bin Laden..

Na licha ya makundi ya watu kudai kwamba Marekani inasema uwongo, haijamuua Osama, mtandao wake wenyewe, Al-qaeda, umekiri kwamba bosi wao kafa.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'