
Anaitwa Amissa Chayeb, mhudumu katika mgahawa mmojawapo katika kituo cha kumbi za mkutano, KRAMA Palexpo, Tunis, unapofanyikia mkutano wa Umoja wa Mataifa ulioikusanya dunia nzima kujadili namna ya kutumia TEKNOHAMA. Kazi ya Amissa ni kuwapatia wateja huduma- chai, kahawa, maziwa na vitafuno kidogo - lakini dakika hii, hawapo. Afanyeje? Sana sana kutabasamu, akimngoja mmoja mmoja anayeingia.
No comments:
Post a Comment