Wednesday, March 15, 2006

Nani anasema JK hayawezi?


Mwanablogu Reginald Simon Miruko ndiye kanitumia picha hii. Miss Personality, Witness Manwingi, ambaye alikuwa mwakilishi wa Tanzania katika shindano la kumtafuta Miss Tourism wa Dunia mwaka 2006 anasalimia Rais Jakaya Kikwete wakiwa wamekumbatiana. Wote wanatabasamu, wanapendeza na wameshikana VIZURI! Au nimeshindwa kuitafsiri barabara?

1 comment:

Reggy's said...

Picha hii si yangu: Nimeipata kutoka kwa MWANABLOGU MICHUZI. Naheshimu sheria ya hakimiliki. Nilikutumia ili uionje kwa ukaribu ndani ya e-mail yako na kutambua kazi ya Michuzi. RSM

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'