
Soma Maswali yangu kwa serikali ya JK inayong'ang'ania kufuga na kutisha vyombo vya habari na wanahabari. Hii Hapa.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...