Monday, February 16, 2009

Mikono imekamatwa, ubongo upo kazini

Wapendwa wasomaji, hasa wadau wa Maswali Magumu, nilipotea kwa wiki mbili. Majukumu yalikuwa mengi kiasi, nikashikwa mikono; lakini ubongo ulikuwa kazini. Sasa tutakuwa pamoja tena katika safu yetu na nyinginezo, ikiwamo hii hapa mpya mpya.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'