Saturday, August 08, 2009

Tunamsafisha Kikwete kwa majitaka?

WATU wote wenye akili timamu wanajua kuwa Ikulu imemkashifu Rais Jakaya Kikwete katika jitihada za kumtetea na kumlinda dhidi ya ufisadi wa Richmond. Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo, wiki iliyopita, kwamba Rais Kikwete hakuhusika kabisa na mchakato wa kuipatia kampuni ya kitapeli, Richmond Development (LLC), tenda ya kufua umeme wa dharura, ni jaribio jingine dhaifu la kuthubutu kumsafisha rais kwa majitaka. Ndiyo hoja yangu katika Maswali Magumu wiki hii.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'