Sunday, February 07, 2010

Mbaya kwa wanaotaka kusomea Uingereza

Waingereza wanaendelea kutufungia mipaka kwa kuweka masharti magumu zaidi dhidi ya wanaotaka kusomea Uingereza. Ipate hapa.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'