
MVUTANO juu ya matumizi ya Bendera ya Taifa nchini Tanzania uliozuka katika kipindi cha kampeni za uchaguzi, umezua mjadala mpya katika jamii. Sasa watu wanahoji. Kwani Bendera ni nini hasa? Nani anaimiliki? Soma Hapa.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...