
NOVEMBA 6, 2005 Gazeti la Tanzania Daima lichapishwalo na Free Media Ltd ya Dar es Salaam, lilikuwa na habari na makala nzito juu ya kilichotokea katika uchaguzi wa Zanzibar wiki hiyo uliomrejesha Rais Amani Karume madarakani. Mbele ya gazeti kulikuwa na picha hii. Gazeti liliuzwa hadi likaisha. Walilenga kuchekesha, wakanunisha wakubwa. Walitumaini wako huru, wakajikuta mahabusu. Soma hapa. Na dunia nzima ilitambua ubabe wa serikali ya Tanzania. Ona!