Tuesday, August 26, 2008

Mgombea mwenza wa Obama

Huyu hapa ndiye, Joe Biden, mgombea mwenza wa Barack Obama. Mzungumzaji mzuri kama Obama. Msikilize hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'