Tuesday, August 26, 2008

Obama awa mgombea urais


Fuatilia au jikumbushe kuhusu Mkutano Mkuu wa Chama cha Democratic, Marekani, wa kumteua rasmi Barack Obama kuwa mgombea urais. Ni mkutano wa siku nne, uliopambwa na wazunguzaji wakali wa chama hicho. Hapa nakuletea wazungumzaji wakuu wa siku.

Siku ya Kwanza
: 1. Edward Kennedy. 2. Michelle Obama.

Siku ya Pili:
1. Hillary Clinton na HAPA pia.

Siku ya Tatu
: 3. Bill Clinton - MSOME kwa kifupi - na 4. Joe Biden.

Siku ya Nne: 1. Al Gore. 2. HOTUBA ya Obama.

Na huu ni uchambuzi wa vyombo vya habari vya Marekani kuhusu hotuba yake.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'