Sunday, October 12, 2008

Mtawa na Obama


VIKONGWE wawili Wamarekani wenye miaka 106 ni miongoni mwa wapiga kura wa (Rais) Barack Obama. Wa kwanza ni Ann Nixon Cooper ambaye Obama alimtaja katika hotuba yake ya ushindi; na wa pili sista huyu (pichani kushoto) ambaye hajapiga kura tangu mwaka 1952, lakini sasa amesema amepiga kura, na amempigia Obama. SOMA HAPA.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'