
VIKONGWE wawili Wamarekani wenye miaka 106 ni miongoni mwa wapiga kura wa (Rais) Barack Obama. Wa kwanza ni Ann Nixon Cooper ambaye Obama alimtaja katika hotuba yake ya ushindi; na wa pili sista huyu (pichani kushoto) ambaye hajapiga kura tangu mwaka 1952, lakini sasa amesema amepiga kura, na amempigia Obama. SOMA HAPA.
No comments:
Post a Comment