Thursday, October 09, 2008

Obama na McCain wanatuhusu nini?

Urais wa Barack Obama au John McCain kwa Marekani unatuhusuje sisi tusio Wamarekani? SOMA HAPA ujue mambo yanayotuhusu wanayotaka kufanya.

Soma hapa uone mgombea mwenza wa McCain, Sarah Palin alivyoingizwa mjini na wasanii kwenye simu.

Wakati huo huo, kampeni zimepamba moto, na McCain amemfagilia Obama bila kutaka; akazomewa na mashabiki wake. Sikiliza hapa.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'