Friday, September 04, 2009

Zitto Kabwe ataweza?

Zitto Kabwe ameamua kuwania uongozi wa juu kabisa wa chama chake, na tayari amekiri kwamba si mwa msukumo wake binafsi. Je, ataweza? Soma hapa Ukishamaliza hiyo unaweza kujikumbusha na hili pia.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'