Thursday, December 17, 2009

Wakubwa waumbuliwa na vitu vidogo vidogo

Rais George W. Bush aliumbuliwa na mlango. Baadaye aliumbuliwa na kiatu. Gordon Brown na Al Gore waliumbuliwa na mlango.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'