My Photo
Ansbert Ngurumo
Maisha yangu yamezungukwa na kuchongwa na Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo; siogopi wala kupendelea au kubagua binadamu yeyote. Tatizo langu: sivumilii ujinga na sina utii wa kikondoo kwa wenye mamlaka. Kuhoji na kudadisi ni sehemu ya maisha yangu itokanayo na hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'
View my complete profile

Sunday, May 31, 2009

Fisadi mmoja, mawaziri 10

Maana yake nini? Soma hapa.

Thursday, May 28, 2009

Ferguson akiri kuzidiwa kete

Kwa kauli yake na wachezaji wake, na jinsi sote tulivyoshuhudia, Barcelona ndiyo timu bora. Soma hapa

Monday, May 25, 2009

Serikali mfukoni mwa mafisadi: Tutaiondoaje?

SOMA hapa.

Friday, May 22, 2009

Obama, Cheney warushiana vijembe

Wasikilize HAPA

Friday, May 01, 2009

Bibi harusi mfupi sana


Unamjua bibi harusi mfupi sana ambaye ilibidi apande kiti ili aweze kumbusu mumewe mara baada ya kufunga ndoa? Habari yenyewe hii hapa.

Mtoto jiniasi kuliko wote


Mtoto huyu Elise Tan Roberts ana umri wa miaka miwili tu, lakini anaonekana kuwa na kiwango kikubwa mno cha uwezo kiakili - ambacho wenzetu wanaita IQ - na amekuwa mtoto jiniasi mwenye umri mdogo kuliko wote. Anajua makao makuu ya 'karibu kila nchi' duniani. Anapoulizwa hapotezi muda kufikiri, bali anaporomosha jibu kama 'hana akili nzuri.' Mtazame kidogo hapa akihojiwa, naye akimhoji ripota.