Friday, September 28, 2012

Magamba Yapukutika Nyakatanga

Baadhi ya makumi ya wana CCM wameamua kuvua magamba na kujiunga na M4C mbele ya Ansbert Ngurumo aliye Muleba pamoja na John Heche kwenye M4C

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'