Tuesday, September 04, 2012

Tanzia mwanana ya Daudi Mwangosi

Katika yote yaliyoandikwa kuhusu mateso na kifo cha Daudi Mwangosi (pichani) aliyeuawa na polisi kijijini Nyololo, Iringa, andiko hili linastahili enzi ya pekee, na linastahili kuwa tanzia mwanana ya Hayati Mwangosi. Requiem In Pacem!

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'