Thursday, October 11, 2012

Ngurumo Ahudhuria Mafunzo Accra Ghana


Mkurugenzi Mtendaji wa Vox Media, ambaye pia ni Naibu Mhariri Mtendaji wa Free Media, Ansbert Ngurumo, akiwa miongoni mwa washiriki wa kongamano la mwaka la wajasiriamali na viongozi wanaochipukia Barani Afrika, linalofanyika Jijini Accra, Ghana, kwa siku tatu kuanzia Jana.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'