Tuesday, January 22, 2013

Hotuba ya Obama baada ya kiapo cha pili

Msikilize hapa akiwaeleza wananchi wake kwamba kiapo chake ni kwa Mungu na Wamarekani, si kwa chama au kikundi fulani.Anasisitiza kwamba uhuru si haki ya waliobahatika, wala furaha si kwa ajili ya wachache bali wananchi wote bila ubaguzi. Obama anasema: "Huu ndio wakati wetu, na tutaufaidi barabara  iwapo tutashirikiana." Sikiliza mwenyewe.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'