Monday, November 14, 2005

TEKNOHAMA Yapamba Moto Tunis


MACHO ya dunia nzima yapo jijini Tunis, nchini Tunisia; Afrika Kaskazini. mataifa tajiri na maskini yamewakilishwa, kujadili namna ya kuzifanya teknolojia za habari na mawasiliano yamtumikie binadamu. Ujumbe wa Tanzania umeongozwa na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Mark Mwandosya. Hapa katika picha, Prof. Mwandosya anafuatilia kikao cha maandalizi ya mkutano huo kilichohudhuriwa na mawaziri na maofisa kadhaa kutoka serikalini. Nyuma yake (aliyevaa miwani) ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Salim Msoma. (Picha na Ansbert Ngurumo)

1 comment:

FOSEWERD Initiatives said...

huyo bwana mwandyosa namuamini. ni msomi na mtu makini!

thanks

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'