Friday, July 10, 2009

Obama na Papa Benedict XVI wakubali kutofautiana


Rais wa Marekani Barack Obama amemtembelea Papa Benedict XVI, na wawili hao wamekubaliana na kutofautiana katika masuala ya msingi. Wasome hapa. Na kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu, mke wa rais, Michelle Obama amevaa vazi linalofunika haswa mwili wake.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'