Tuesday, April 20, 2010

Mourinho haishiwi hoja kwa waandishi

Wakati Inter Milan na Barcelona zikijiandaa kuchuana katika ngwe ya kwanza ya nusu fainali, Kocha wa Inter, Jose Mourinho, amezungumza na waandishi kwa kujiamini. Msome hapa.. Na baada ya kuifunga Barcelona, aliwasifu vijana wake na kuwaponda washindani, lakini akaonya kuwa safari ya kuelekea Madrid bado ndefu. Naye Rais wa Klabu, Massimo Moratti, aliwasifu Inter, akammwagia sifa kocha, akisema: "wanatisha."
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'