Friday, April 23, 2010

Uchaguzi Mkuu: Mdahalo wa wanasiasa Uingereza

Watazame, wasikilize na watathmini wanasiasa hawa wanaogombea ukubwa wakijieleza katika mdahalo wao wa pili. Ni David Cameron (Conservative), Gordon Brown (Labour) na Nick Clegg (Lib Dem).
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'