Wageni bado wapo. Huyu ninayezungumza naye ni Maria Drantenberg, raia wa Norway, ambaye alinitembelea ofisini kwangu (06.Aprili.2010) kujadili hali na maendeleo ya vyombo vya habari na demokrasia Tanzania.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...

- Ansbert Ngurumo
- Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'