Thursday, April 08, 2010

Mgeni mwingine


Wageni bado wapo. Huyu ninayezungumza naye ni Maria Drantenberg, raia wa Norway, ambaye alinitembelea ofisini kwangu (06.Aprili.2010) kujadili hali na maendeleo ya vyombo vya habari na demokrasia Tanzania.
My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'