Monday, November 01, 2010

Majimbo ya upinzani

Hadi sasa inasemekana upinzani umechukua majimbo haya. Matokeo yameshajulikana katika majimbo mengi. Lakini Tume haitangazi, hasa katika maeneo ambako CCM wameshindwa. Wanataka walale nazo, waingize masanduku mapya, waombe zihesabiwe upya, ili watangaze mtu wao kesho. Katika baadhi ya maeneo, vijana wameshaanza kudai matangazo ya matokeo yao kwa nguvu: Matangazo rasmi kwa majimbo yote yanaendelea kutolewa:

Wapinzani walioshinda hawa hapa

1. Halima James Mdee .... Kawe (Chadema)
2. Tundu Lissu .... Singida Mashariki (Chadema)
3. Mustapha Quorro Akonaay ... Mbulu (Chadema)
4. Israel Yohana ..... Karatu (Chadema)
5. John Mnyika ..... Ubungo (Chadema)
6. Silinde David ...... Mbozi Magharibi (Chadema)
7. Felix Mkosamali ..... Muhambwe (NCCR-Mageuzi)
8. Salvatory Naluyaga Machemuli ...Ukerewe (Chadema)
9. Agripina Z. Buyogela .... Kasulu Vijijini (NCCR-Mageuzi)
10. Ole Sambu ...... Arumeru Magharibi (Chadema)
11. Augustine Lyatonga Mrema ..... Vunjo (TLP)
12. Salum Barwani ...... Lindi (CUF)
13. Joseph Mbilinyi ....... Mbeya Mjini (Chadema)
14. Philemon Ndesamburo Kiwelu ....... Moshi Mjini (Chadema)
15. Dk Antony Mbasa ....... Biharamulo Magharibi (Chadema)
16. Machali Moses John ......Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi)
17. Joseph Selasini ...... Rombo (Chadema)
18. Hezekiah Wenje ....... Nyamagana (Chadema)
19. Peter Msigwa ....... Iringa Mjini (Chadema)
20. Freeman Mbowe ....... Hai (Chadema)
21. Vincent Nyerere ...... Musoma Mjini (Chadema)
22. Godbless Lema ....... Arusha Mjini (Chadema)
23. Zitto Kabwe ....... Kigoma Kaskazini (Chadema)
24. Hayness Samson ...... Ilemela (Chadema)
25. John Shibuda ........ Maswa Magharibi (Chadema)
26. Meshack Opulukwa ....... Meatu (Chadema)
27. Sylvester Kasulimbayi Mhoja ....... Maswa Mashariki (Chadema)
28. John Cheyo ......... Bariadi Mashariki (UDP)
29. Bungaro Said ........ Kilwa Kusini (CUF)
30. David Kafulila ....... Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi)


Mengine baadaye

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'