Monday, November 01, 2010

Uchakachuaji wa kura waanza

Taarifa zilizopo zinasema katika vituo vingi, kura za urais anaongoza Dk Slaa, lakini wanatangaza ya udiwani na ubunge tu. Eti ya urais yanasubiri baadaye. Njama za kuchakachua, kumuongezea JK! TUnasubiri.

Habari zinasema JK na Yusuf Makamba wamekimbilia Mwanza kumnusuru Masha, Nyamagana. Pale Ilemela, Anthony Diallo, amekubali kushindwa, akasaini fomu ya matokeo. Anataka kumwaga damu?

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'