
LEO jioni, Dr. Willibrod Slaa amekutana na Rais Jakaya Kikwete katika Ikulu ya Magogoni, kwa wito wa rais ili kueleza chama hicho hatua alizochukua baada ya mkutano wa na ujumbe wa Chadema mwaka jana. Maelezo zaidi baadaye.
Tunahitaji kujua kwa sababu hatujui; na hatuwezi kujua kama hatujui kwamba hatujui...Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi. Na kadiri tunavyojua, ndivyo tunavyogundua kwamba hatujui...