Saturday, January 14, 2012

Regia Mtema afariki dunia

. Habari mbaya zilizoifikia blogu hii ni kwamba Mbunge wa Viti Maalumu kutoka Kilombero (Chadema), Regia Mtema, pichani, amefariki dunia leo muda mfupi uliopita, katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Ruvu. Taarifa zaidi zitafuata baadaye. Mungu amlaze pema peponi!

1 comment:

Subi Nukta said...

Apumzike pema marehemu Regia.

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'