Saturday, January 21, 2012

Dk. Slaa akutana na JK


LEO jioni, Dr. Willibrod Slaa amekutana na Rais Jakaya Kikwete katika Ikulu ya Magogoni, kwa wito wa rais ili kueleza chama hicho hatua alizochukua baada ya mkutano wa na ujumbe wa Chadema mwaka jana. Maelezo zaidi baadaye.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'