Wednesday, December 20, 2006

Hii ni aibu baada ya miaka 45 ya Uhuru

Hata baada ya miaka 45 ya uhuru, tunashindwa kufanya vitu vidogo kama hivi, kuokoa Watanzania wenzetu! Je, wasio sehemu ya watawala wataokolewa na nani? Aibu!

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'