Sunday, December 10, 2006

Mzee wa viwango na kasi anayongwa au anajinyonga?


Siku alipochaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Samuel Sitta alijitangaza kuwa spika wa 'viwango na kasi.' Mwaka mmoja baadaye anaweza kujitambulisha kwa maeneno hayo? Anakuwa kinyonga au anajinyonga? Kama hukuridhika soma hii ndefu.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'