Thursday, January 25, 2007

Mjadala wa Muswada wa Habari wazidi kukua


Soma stori ya Majira kutoka Mbeya kuhusu muswada wenye utata ulioandaliwa na waziri Mohammed Seif Khatib (pichani) kunyonga uhuru wa habari Tanzania.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'