Monday, January 29, 2007

Kamera ya X-ray kuvua watu nguo

Iwapo Kamera hii itatumika kudhibiti ugaidi, kama STORI hii inavyosema, basi tutakuwa kama vile tunatembea uchi.

No comments:

My photo
Nimechongwa na mambo haya: Falsafa, Fasihi, Muziki, Habari na Harakati. Sifuati mkumbo. Napenda kuhoji na kudadisi - hulka ya kifalsafa ya kuusaka ukweli - 'UKWELI ULIO UCHI.'